Kama wewe ni ke subiri second selection soon Zitatangazwa
Huwezi kwenda advance level.
iyo islamic/ Bible knowladge haitambuliki
Ila kwa vile una C ya islamic unaweza kuwa Sheikh wa mkoa
Nop me mwanaume mkuuKama wewe ni ke subiri second selection soon Zitatangazwa
Na vip kuhus kufany mtihan pc mkuuKama wewe ni ke subiri second selection soon Zitatangazwa
Nop ndio nini, hizo lugha ndio zimekufelisha, haya ingia nacte bado hawajafunga dirisha uangalie cha kukufaa Umesikia
Ok sawaNop ndio nini, hizo lugha ndio zimekufelisha, haya ingia nacte bado hawajafunga dirisha uangalie cha kukufaa Umesikia
Nimesoma na kuuelewa uzi wako mkuu. Kwanza kabla ya yote hongera kwa kumaliza kidato cha nne.Upo kwenye list ya KKK.Matokeo yangu ya (CSEE) yapo ivi
BIO=C
CHEMI=D
GEO=D
ENG=C
ISLAMIC=C
CIVICS=D
KISW=D
PHY=F
MATH=F
Div: 3 point 25
Natak kwenda advance kwa combination ya CBG lakin nimeambiwa siwez kufany mtihan wa mwisho nikiwa kam candidates. Naomba ushauri wenu nirepeat tena form 4 au niend advance nifanye kam pc.ushauri wenu plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kaomba ushauri kwa wanaJF. Tumpe support, asije kukata tamaa wakati kuna namnaHuwezi kwenda advance level.
iyo islamic/ Bible knowladge haitambuliki
Ila kwa vile una C ya islamic unaweza kuwa Sheikh wa mkoa
Asante mkuu ila list ya KKK ndo nin mkuuNimesoma na kuuelewa uzi wako mkuu. Kwanza kabla ya yote hongera kwa kumaliza kidato cha nne.Upo kwenye list ya KKK.
Kuhusu kwenda advance sio shida.Ila tatizo hujatimiza kigezo cha kufanya mtihani wa ACSEE ambacho ni kuwa na credit (A,B,C) tatu ambazo hazihusishi masomo ya ziada na dini. Hapo wewe una credit mbili tu (BIO & ENG)
Nakushauri re-seat upate hizo credit. Unaweza kufanya hivyo huku unaendelea na advance though.
Ongezea na tusiNop ndio nini, hizo lugha ndio zimekufelisha, haya ingia nacte bado hawajafunga dirisha uangalie cha kukufaa Umesikia
Asante mkuuNakushauri apply vyuo vya afya kwa ngaz ya Chet unaweza pata kwa private lkn
Kujua Kusoma na Kuandika mkuu. Tupo pamoja