Amshirikishe Mungu kwenye hili jambo thats the first thing! Halafu nadhani kuna mazingira flan anajiweka to the extent kwamba wanaume wanamwogopa labda kutokana na fedha zake au elimu yake au kazi yake,may be she is too serious na hajichanganyi na wa2 tofauti tofauti,acjiweke matawi ya juu sana!aishi maisha ya usingle it will help!