Watu wanataka privacy unazungumzia kwenda kaunta,,, kiroba unakiminya chocho unatupa unaenda zako kichwa kikiwa fresh sasa nianze kwend bar kusitua naanzaje hiyo halafu ni kujichoresha tu hapo... Wenyew labda watengeneze kichupa cha plastic wauze kwa bei ile ile ya jero kwa buku...Ni hivyo Tu.