Kwa mwenyekiti na viongozi wote wa chama,Napenda kutoa Ushauri wangu kwa Manunuzi ya Magari ya Chama kutokana na nijuavyo magari na hali ya barabara za nchi yetu.Ni vema kununua magari mapya lakini yawe ya Uingereza mfano Land Rover Defender Station Wagon na Pick/Up Double Cabin na Single Cabin kwa field work zote.Then kwa makao Makuu zinunuliwe Ford Ranger kwa matumizi ya kawaida ya ofisi.Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Chadema.
------------------------