WEWE ACHA UJINGA!shukran wadau kwa ushaur mshkaj anadai hamu yake kubwa ni kufanya mtihani wa A level na anadai ameshaanza msuli na mwakan huenda akafanya paper as private candidate
kwa mawazo yangu tu cheti chake kizuri tu ila kwa mimi ningeshauri angeenda OPEN UNIVERSITY waga wanatoa kozi pale inaitwa foundation 2years kisha degree(kama sijakosea) kuliko aende advance tena. sema atakachoongeza hapo ni MSHAHARA japo anaeza asihamishwe .
we are after money
kwa mawazo yangu tu cheti chake kizuri tu ila kwa mimi ningeshauri angeenda OPEN UNIVERSITY waga wanatoa kozi pale inaitwa foundation 2years kisha degree(kama sijakosea) kuliko aende advance tena. sema atakachoongeza hapo ni MSHAHARA japo anaeza asihamishwe .
we are after money