Ushauri wa Haraka: Anategemea kustaafu kaambiwa file halionekani

Atoe copy barua zake zote na atengeneze file lake na aendenalo kunakotakiwa litapatikana tu na afanye mapema kuanzia sasa! asilale....
 
wabongo kutolea mimacho hela za watu atujambo!
hapo kuna ukanjanja wa mjini unaendelea, kuwa makini komaa nao mpaka kieleweke,
 
Aweke standby barua ya kuajiriwa,barua ya kuthibitishwa kazini,pamoja na salary slips zake bila kusahau kitambulisho cha kazi,halafu aendelee kuwavutia pumzi,ni watu wanaotaka kumtingishia kiberiti tu,wakishagundua ni mtu makini wa kutunza kumbukumbu watalitoa tu hilo faili.....hakunaga kitu kama hicho cha "faili hatulioni",hata kama "hawalioni" ukiwa na documents zako muhimu kama hizo lazima kuwe na "way foward".
 
Aweke standby barua ya kuajiriwa,barua ya kuthibitishwa kazini,pamoja na salary slips zake bila kusahau kitambulisho cha kazi,halafu aendelee kuwavutia pumzi,ni watu wanaotaka kumtingishia kiberiti tu,wakishagundua ni mtu makini wa kutunza kumbukumbu watalitoa tu hilo faili.....hakunaga kitu kama hicho cha "faili hatulioni",hata kama "hawalioni" ukiwa na documents zako muhimu kama hizo lazima kuwe na "way foward".
Ahsante Mkuu. Kwa maelezo yake inadai vielelezo anavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio majitu ya PSPF hayo?
Heeeee PSPF inahusika vipi na file lake huko kazini kwake?

Leo ndio nimeelewa kuwa elimu/uelewa wa hifadhi ya jamii kwa Tz 6% tu wanaelewa ikiwemo walio jiunga na kupokea/kunufaika na mifuko hiyo
 
Mkumbushe akumbuke vizuri wakati wa uchaguzi wa 2015 kura yake aliiweka upande gani? Jibu likipatikana itakuwa mahali pazuri pa kuanzia kutafuta hayo mafaili. Ila kwa muda huu aendelee na kazi tu, hadi hapo hayo mafaili yake yatakapoletwa.
 
Back
Top Bottom