A Apex JF-Expert Member Joined Jul 31, 2012 Posts 425 Reaction score 61 Dec 23, 2013 #1 Jamani kwa wenye uelewa na aina hizo za simu,ipi simu nzuri kati ya hizo na kwa nini? Pia bei ikoje sokoni? Karibuni sana.
Jamani kwa wenye uelewa na aina hizo za simu,ipi simu nzuri kati ya hizo na kwa nini? Pia bei ikoje sokoni? Karibuni sana.
MOST WANTED JF-Expert Member Joined Aug 16, 2011 Posts 209 Reaction score 178 Dec 23, 2013 #2 Google na zicheki features zake na utajua zmetofautiana nn na ipi bora. simple like that
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 24,940 Reaction score 26,796 Dec 23, 2013 #3 Mimi najua M3 tu hapo kutoka kwenye ule waraka