Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Huo ndio ukweli ndio tiba sahihilabda hajui msamehe ila kweli inatakiwa hivyo ulivyosema
Nimeyapenda sana majibu yako,nimeziona busara ndani yako,barikiwa sana MtumishiAmesema keshaenda kwa hospitali kaambiwa hakuna shida, muda ukifika atasimamisha.NDIO NIMESHAURI AFATE USHAURI WA DAKTARI.
Mimi mwenyewe ni mzazi vile vile tena wa mtoto wa kiume.na sijawahi hata kufikiria eti mtoto wa mwaka mmoja asimamishe,ndio maana nikatoa ushauri wa kimtazamo na kielimu yangu ndogo may be pia kutokana na uzoefu wangu mdogo.
Ikiwa wewe unaona kutoa ushauri ni kujidharilisha. Mimi katu sioni hivyo. Maana najuwa kumshauri mtu ni jambo moja na ushauri kuchukuliwa au kuwa wa maana wenye kufaa ni jambo jingine!
Ndio maana mwisho nikampongeza dada kwa kujiuliza baada ya kupata wasiwasi huo.
Binafsi naona siafiki ushauri wakusema mtoto aingize kwa *****.sijui lakini.
HII NDIO KUWA UYAONE. ni mupya kwangu. Naijua ya kuuvuta Vuta wakati wa kumogesha ili usirudi ndani na usiwe mfupi. LETS US SHARE EXPERIENCES WITHOUT NEGLIGENCE TO OTHERS!
Umri bado??mkuu hata mtoto wa miezi mitatu anasimamisha,mtoto wamiaka 6 anakuaje umri bado?Me nafkil bado umri. Mnachotakiwa kifanya ni kuhakikisha tuu anakojoa vizur
Akishabarehe ndo ataanza kusimamisha vizur. Umri bado au mmemwandaria mwali wa kupiga nn
Nyie wanamaombi mda mwingine mnazingua,kila kitu maombihuo ushauli haufai kbsa , NAAMINI KATIKA DAM YA YESU MTOTO ATAPONA NENDA KWENYE MAOMBI KANISANI ,
nimejifunza kuwa unaweza kuandika post reeefu lakini pumba tupuMiaka 6 unataka mwanao asimamishe Dada,du. Asimamishe ili iwaje sasa mtoto wa miaka sita.sorry nimeandika haya sababu nimestuka kidogo!
Mtoto wa miaka 6 kutokusimamisha unapata hofu! Umeshamuandalia mchumba nini ndio maana unawasiwasi! USIWE NA WASI DADA, ATASIMAMISHA WAKWE NA WAJUKUU ATAKULETEA HUYO.
usiangalie Wenzie sijui wanarusha mkojo Mita mia nane wala nini. Sasa yeye hata rusha mkojo tu, atarusha hadi madini! SAWA DADA!
Navyofahamu Mimi Uume kusimama ni dalili moja wapo ya kubalehe Dada. Usiwaze kuhusu hilo.atasimamisha tu muda ukifika.
Na wala usifanye hayo alokushauri ufanye sijui nini na mtoto wako!USIFANYE KABISA. wasikilize madaktari Dada.naimani hawajakudanganya.
Na mtoto wa kiume hubalehe kati ya umri wa miaka 14 hadi 16 kulingana na hali ya kiafya.
UWE NA AMANI! japo umefanya vizuri kujiuliza!
Wazungu sio wajinga namna hii.Ndiyo maana matoto mengine yanakuwa matukutu ukubwani, yanabaka mama zao Kwa style hii bado sana, hivi na wazungu wajinga namna hii?
Hivi hii style yako ya kuanza na hizo alama ya mshangao kwenye kila comment zako hua ina maana gani?!!
!
Mh ni shida kubwa. Mpeleke kwa Wataalamu wa wa jadi
Nyeti si zipo. Aonyeshwe kama ndo dawaUmri bado??mkuu hata mtoto wa miezi mitatu anasimamisha,mtoto wamiaka 6 anakuaje umri bado?
Wa huko kwao!Sijui bibi amekula ugoro wa wap?????