Ninatoka hospital kwa sasa ni vyema uwai maana usipowai matatizo makubwa mgonjwa wangu alipata presha na sukar sababu ugonjwa huo chana sehem inayouma kisha kojolea mkojo kigdogo uone maumivu yataisha mzee mmoja alisema hiyo ni dawa imesaidia weng pia zipo dawa zingine nyingi kama za maumivu ili ulale usiku hasa za kuchua pembeni ya kidoke 0712505049 tuwasiliane zaid ila tatizo hilo usipuuze libasabisha ulemavu na kifo