Hakuna haja ya kuichomoa betri ikijaa, zimetengenezwa kujua hilo, ikiwa imechomekwa inatumia umeme wa kawaida na betri inapojaa inaacha kucharge betri.
Tumia betri wakati hauna umeme wa kamawaida.
Kuhusu joto, itakuwa imejaa vumbi chukua mrija kisha puliza kwenye matundu ya feni uone kama vumbi linatoka na kama joto linapungua, au feni imepata matatizo au unatumia programs ambazo zinatumia sana CPU.