Mbepo yamba JF-Expert Member Joined Aug 5, 2012 Posts 1,384 Reaction score 2,082 May 3, 2023 #41 Theodor herzl said: Ulifanikiwa kulima? Mi nalima mbegu ya dk 777, ni mazuri kwa kuchoma ILA pioneer ni mazuri zaidi. Click to expand... Ni yepi yanakuwa makubwa zaidi? Na je yale yanakuwa rangi ya njano yanautwaje?
Theodor herzl said: Ulifanikiwa kulima? Mi nalima mbegu ya dk 777, ni mazuri kwa kuchoma ILA pioneer ni mazuri zaidi. Click to expand... Ni yepi yanakuwa makubwa zaidi? Na je yale yanakuwa rangi ya njano yanautwaje?
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,451 Reaction score 50,183 May 3, 2023 #42 Ngedele wamechoka kuwindwa
Zemanda JF-Expert Member Joined Jan 10, 2021 Posts 10,664 Reaction score 22,844 May 3, 2023 #43 Mbekenga said: Kwanza hongera sana kwa kufikiria hii biashara. Kwa kuanzia nashauri seriakali iache matamko kwamba kuchoma mahindi ni kusababisha njaa. Kuchoma mahindi kunachochea wakulima kuwa na mbadala wa shughuli za kufanya. Narudi kutoa ushauri Click to expand... Nani alitoa tamko la kipumbavu kama hilo?!
Mbekenga said: Kwanza hongera sana kwa kufikiria hii biashara. Kwa kuanzia nashauri seriakali iache matamko kwamba kuchoma mahindi ni kusababisha njaa. Kuchoma mahindi kunachochea wakulima kuwa na mbadala wa shughuli za kufanya. Narudi kutoa ushauri Click to expand... Nani alitoa tamko la kipumbavu kama hilo?!