Word.Mhh mi naona hata kukomoana nako ni kwingi maana kutojua kuandika CV kunategemea yaweza kuwa kafundishwa hivi we unataka aandike kama unavojua, pia wasaili wengi wanatumia uhaba wa ajira kama fimbo ya kuwachapia watafuta kazi na kuonekana kama ni watu wasiojielewa, mi nilienda ofisi fulani HR aliyepewa kukaimu ni O level alivoiona CV yangu hakutaka hata kufanya usaili akaomba samahani naomba uendelee na shughuli zako hata hakusoma kilichomo
Ni wapi hapo mkuu unishitue mimi nikave gepu lake huyo anaonekana hana shida ya kupata kazi. Nishtue mkuu ata pmSafi sana.
Nashauri vyuo vyote vya chini,kati na vinavyotoa elimu ya juu viwafundishe vijana jinsi ya kuandika C.V na barua nzuri za kikazi.
Wanachokionyesha vijana watafuta kazi kwenye mabarua ni aibu, juzi kuna kijana mpaka nikataka kumtandika konde, maana kila ukimwelekeza kakosea afanye marekebisho anabishana nasi. Alipoondoka tukaichukua barua yake tukaichana huku mwenyewe anasubiria kuitwa kwenye usaili.
Umetumia salio lako kumwita aje afanye marekebisho anakuja analeta ujuaji.
Deadline imepita wiki ya keshokutwa tutawainterview.Ni wapi hapo mkuu unishitue mimi nikave gepu lake huyo anaonekana hana shida ya kupata kazi. Nishtue mkuu ata pm