Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,463
- 1,917
Ipo mbili kwa bahati mbaya lkn ukisoma unaona ufaulu ni ule ule bEnglish ipo mara mbili
Andika kama anayetaka ushauri
Hivi inawezekana kusoma masomo ya form 5 na huku anasubiria kurisiti?Pcm hatoiweza huyo
Sijui mkuuHivi inawezekana kusoma masomo ya form 5 na huku anasubiria kurisiti?
Mungu akupatii unachotaka bali unachostahili sasa anataka PCM wakati physics ana F does not make sense,, anyway another opt is....if yuko committed sana na kwnda adv kwa hyo comb arudi class tena aanze kidato cha pili na cyo kuliseat atapotea hkoMzazi wake anaomba ushauri kuhusu kijana wake kapata 1v ya 26
Eng B
Phy F
Chem D
Kisw F
Engl B
Civ F
Agric F
Hist D
Bio C
Math D
Anaweza kuenda advance?au arepeat maana kijana anataka PCM
Aende private akasome Pcm huku akisaka credit ya physics. Inawezekana.Mzazi wake anaomba ushauri kuhusu kijana wake kapata 1v ya 26
Eng B
Phy F
Chem D
Kisw F
Engl B
Civ F
Agric F
Hist D
Bio C
Math D
Anaweza kuenda advance?au arepeat maana kijana anataka PCM
Nadhani hiyo nyingine ni engineering science..English ipo mara mbili
Andika kama anayetaka ushauri
Samahani kwako mleta Uzi
Nami naomba ushauri kwa wadau ana IV ya 26
Hist F
Kiswahili C
Eng C
Geog D
Phys F
Bios D
Chemistry C
Math F
Civics D
Vipi anaweza endelea advance!? Au afanye nini?
ChuoMzazi wake anaomba ushauri kuhusu kijana wake kapata 1v ya 26
Eng B
Phy F
Chem D
Kisw F
Engl B
Civ F
Agric F
Hist D
Bio C
Math D
Anaweza kuenda advance?au arepeat maana kijana anataka PCM
BodabodaSamahani kwako mleta Uzi
Nami naomba ushauri kwa wadau ana IV ya 26
Hist F
Kiswahili C
Eng C
Geog D
Phys F
Bios D
Chemistry C
Math F
Civics D
Vipi anaweza endelea advance!? Au afanye nini?