Mkuu tatizo sio brand angalia mfuko wako kwenye spea utaweza kumudu
Wa Tanzania sio kama wanapenda kuishi kama wanafunzi wa shule kuvaa sare hapana
Asilimia kubwa uchumi wetu unalingana
Ila ndio hivyo hatupendi kusema ukweli tu
Unaweza ukanunua Toyota na Bado ika paki ndani
So be careful na angalia mfuko wako
Tena zingatia unataka mkononi kwa MTU
Sent from my Infinix X657 using
JamiiForums mobile app