Wanabodi,
kwa upande wangu ningeshauri kesho kwenye hayo maandamano yanayosemekana kuwa ya wapinzani wote waliokubali mwaliko kutoka chadema basi ningeshauri zibebwe bendera za taifa lakini nguo za vyama zibaki zilezile za kawaida kama magwanda na scarf.
Huo ndo ushauri wangu!