Ushauri: Kesho CHADEMA wabebe bendera za taifa

Mie natarajia kumwomba mwigulu nchemba ile anayoivaaga shingoni.
 
polic mkoa wa tmk wamepiga marufuku hayo maandamano. source.radio times.

kwani wameombwa kibali? au wameombwa kutoa ulinzi! mimi ninavyofahamu policcm huwa wanapewa taarifa tuu, kama wao ni wanaume waje kuzuia kuanzia pale ubungo tukiwa kwenye magari, mkutano umeandaliwa kisayansi huu, waache kufikiri kwa kutumia masaburi
 
jee kama maandalizi yashaa fanyika?
 
Mkuu andazi la kuchoma mi naona bendera ya Taifa iwepo lakin za vyama nazo ziwepo kwa wingi 2 koz ile bendera ya taifa ina rangi za kimagambamagamba fulani hivi KIJANI na NJANO so bendera za CHADEMA na NCCR ndio zitumike.
 
Last edited by a moderator:

Naunga mkono hoja 100%-)
 
Cuf wanalia lia kwani temeke wameinunua..cdm jiandaeni na hujuma toka ccm B hapo kesho..ili wadhalilike
 
naomba kujua maandamano yanaanza sa ngapi na mkutano unaanza sa ngapi
 
naomba kujua maandamano yanaanza sa ngapi na mkutano unaanza sa ngapi

mkuu ni kuanzia saa 6 pale ubungo kwa magari na boda boda, alafu safari mpaka Tazara, kuanzia hapo ni kwa mguu mpaka viwanja vya Temeke mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…