Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 22,486
- 28,313
Veta kuna kozi nyingi tuu za ufundi mfano magari, umeme, computer, ujenzi:-[:-[ acha hizo unazozijua za kupika.Veta = mapishi , ushonaji, urembo, kupamba, kupika keki, kadhalika lakdhalika
Aende Ili apate kujikweza mwenyewe
Ni wakike Bro.Ajifunze kupiga liberty za mbao atanishukuru baadae(useremala)
Huyu dogo jinsia ni KE, anaweza kufanya Hii?Kuna fundi nilikuwa naongea naye alipita njia kama hii aisee kibongo bongo naweza kusema amejipata ana maisha fulani yanayoeleweka
Kama anasifa mtafutie chuoMkuu anapendelea Nursing
Ndio maana nimekuja kuuliza huku kama anasifaKama anasifa mtafutie chuo
Mtoto wa kike wengine hawapend hayo mambo wanadhan ni za wanaume so nimempa simple optionVeta kuna kozi nyingi tuu za ufundi mfano magari, umeme, computer, ujenzi:-[:-[ acha hizo unazozijua za kupika.
Njoo pmNi wakike Bro.
Sijaona mafundi mekanika wengi wa kike ila wapo...ushauri wa kuangalia kote ni mzuri Vocational Training ina uzuri wake pia ingawa jamii inaichukulia kama ni kimbilio la waliofeli lakini tunapoingia kwenye maisha yenyewe ndio unakuta wana fursa za kupata hela ya kujitosheleza kwa sababu jamii kubwa inahitaji zaidi utaalamu waoHuyu dogo jinsia ni KE, anaweza kufanya Hii?
Ahsante MkuuSijaona mafundi mekanika wengi wa kike ila wapo...ushauri wa kuangalia kote ni mzuri Vocational Training ina uzuri wake pia ingawa jamii inaichukulia kama ni kimbilio la waliofeli lakini tunapoingia kwenye maisha yenyewe ndio unakuta wana fursa za kupata hela ya kujitosheleza kwa sababu jamii kubwa inahitaji zaidi utaalamu wao
View attachment 3226314
Mfumo wa elimu yetu hauangalii hizo division bali ufaulu wa D 4 unaohusisha masomo ya sayansi. kwa maana hiyo Bio D, Chem D, Phy F, Engl F, Math F hawezi kusoma kozi ya afya. Lakini endapo hizo D zingine zingeangukia kwenye masom ya Hesabu na Physics angesoma vizuri kabisa.Famasia wanachukua hadi four ya 29?
Nursing hawamchukui ana F englishUalimu wa nursery ,nursing ,