Jamani naomba ushauri nina m 7.5 nataka gari ambalo ni economic especially kwenye mafuta then spares, lakini liwe reliable na linalouzika at the end of the day, brand iwe Toyota ntashukuru sana kwa ushauri wenu
Nikupe Toyota Corrola kwa 4.5 Million-iko intact na bomba kweli x2.1500 cc
Ukiitumia 6 month nitainunua kwa 3 M kwa 1 yr. nitainunua kwa 2.5M.
Lete deal.
Nikupe Toyota Corrola kwa 4.5 Million-iko intact na bomba kweli x2.1500 cc
Ukiitumia 6 month nitainunua kwa 3 M kwa 1 yr. nitainunua kwa 2.5M.
Lete deal.