Used: iPhone 4S 32 GB for sale

Dah huyu jamaaa kaniacha hoi sana. Hata sijui kwanza hiyo simu kaipataje??? Uko nyuma sana bob kisoko la simu
 
Mwenye 350k anichek nimpatie iphone 4s au anicheki kwa hii nimpatie
0712338291
 
Ndugu yangu nikupe ushauri.. Unasema hujaona mtu anaezijuwa apple humu lakini nikeambie kitu siku akitokea huyo mtu anaejuwa apple na akakwambia anaenda kukupa kwa hip hela unayo taka wewe basi juwa fika atakuwa ni tapeli . Kwa mimi hio laki 9 napata iphone 6 iliyosimama tu
 
Sasa ni vunja bei kabisa kamata *iphone 4S 32GB* kwa Tsh 300k pekee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…