Used cars for sale

Used cars for sale

Nipe bei ya toyota gaia na ford pick ups.
 
Hizi ndio changamoto zaa wafanyabiashara wetu tulionao, sijui ni kwanini huweki habari au info iliyokamilika. Ulipaswa kujua kuwa watu wataulizia website na aina ya magari. Weka link ya hiyo company yako hapa na info zingine. Huchoki kuulizwa maswali ya uweke link?? I really don't like this type of businessman/woman.
 
You are not serious with your business. Biashara matangazo. Yaoneshe hayo magari. huoni wenzio wanavyoonesha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom