Jamani wadau naomba mnisaidie naweza kupata
wapi kampuni inayosafirisha mizigo na bei ni nafuu
na mizigo inafika salama hata kama ni delicate .
Nataka kusafirisha vitu frm mbeya to dar.
Vitu kama makabati.. Fridge....
Asanteni
Jamani wadau naomba mnisaidie naweza kupata
wapi kampuni inayosafirisha mizigo na bei ni nafuu
na mizigo inafika salama hata kama ni delicate .
Nataka kusafirisha vitu frm mbeya to dar.
Vitu kama makabati.. Fridge....
Asanteni