Haha Mwl Jotta(RIP) aliumwaga uti wa mgongo nadhani ndo ulimondoa duniani...mama mwangata mpaka leo ndo mkuu pale, Joji Mtawanga ni Operator wa DOZER, anawajibika...ingawa yupo sana kitaa/juu ya mawe bt anapambana kibishi.Madam B una jua na mimi nimepita ligula primary skuli,mwalimu masari alikua ana ng'ata pua yule mzee halafu mwalimu jotta alikua ana matusi ya nguoni yule mama,enzi zile mwalimu mkuu mama mwangata kila mwaka ana mimba daah.george mmangaribi ndio alikua mtaalamu wa kucheza ngoma ya mganda.huu uzi raha tupu una nikumbusha mbali sana.
Hahahaaa, hivi Ishumi yupo wapi? Nakumbuka kuna mtoto wa Lipwelele akiitwa Ishumi (kama sijakosea)...No ni Ishumi na Kabyee, yah hawa pia ni ndugu, mabrazamen wa enzi hizo wakiendesha magari...dah tukiwaona wa mbele kinoma!! Hahahaa, kwa Mwakyoma karibu na kwa Bambo pale juu, kulikuwa na jogoo flani ukienda kuokota embe na ukaingia anga zake anakufurumusha mbaya@!! yule Jogoo(kuku) alikuwa balaa sana, mimbwa ya pale ilikuwa nouma!!Asante mleta uzi maana umenikutanisha na mmoja wa watoto tuliocheza utotoni Indian kota.
....yaani ilikuwa ikifika msimu wa embe, mtoto hatumwi dukani...ukimtuma tu, haooooo kwenye miembe.
Unapakumbuka kwa Mzee Mwakyoma, baba Hanifa, Mzee George....kule ng'ambo kwa mama Salama alikuwa na mapacha 2 wa kiume.
Unapakumbuka kwa kina Rehema, nyumbani kwao ndio kulikuwa na mipapai mitamu kota nzima, watu tulikuwa tunaamka saa 9 usiku tunaenda kupanda fensi ili kuiba mapapai.
Unakumbuka mibuyu ya pale bwawani?
Aiseeee.....hivi unamjua Ishumi Fadhili?
alikuwa mtoto toka Chikongola, akakosea step akaja kutuchokoza watoto wa kota....alichokipata, alihama mpaka shule
Nahhisi we ni classmate angu hakiya Mungu...!! Otherwise hatujapishana zaidi ya miaka tuwili..LOLMwl. Jotta alifariki mwaka 1999 Mwalimu Mwangata bado yupo hadi leo ni Mwl. Mkuu mwl. Mrekoni amefariki mwaka huu nayeye. Walimu wengine wengi wamehama pale
Chimpepo yupo, Mwl Fundi yupo, Mwl Munga, Mwl Mandanda...nachiputa sina uhakika sana!! Mwl Mwingira ashastaafu..vp huyu unamfahamu?Mwl. Jotta alifariki mwaka 1999 Mwalimu Mwangata bado yupo hadi leo ni Mwl. Mkuu mwl. Mrekoni amefariki mwaka huu nayeye. Walimu wengine wengi wamehama pale
Hahahaaa, hivi Ishumi yupo wapi? Nakumbuka kuna mtoto wa Lipwelele akiitwa Ishumi (kama sijakosea)...No ni Ishumi na Kabyee, yah hawa pia ni ndugu, mabrazamen wa enzi hizo wakiendesha magari...dah tukiwaona wa mbele kinoma!! Hahahaa, kwa Mwakyoma karibu na kwa Bambo pale juu, kulikuwa na jogoo flani ukienda kuokota embe na ukaingia anga zake anakufurumusha mbaya@!! yule Jogoo(kuku) alikuwa balaa sana, mimbwa ya pale ilikuwa nouma!!
Yaani leo nimecheka nwenyewe hapa mpaka wananishangaa sure Mtwara nikisikia sikuiz mara hiki mara kile nikikumbuka hizi stori nacheka sana.
Maana maeneo mengi enzi hizo kulikuwa porini kabisa kule shangani ndio kabisaa vichaka tupu.
Nahhisi we ni classmate angu hakiya Mungu...!! Otherwise hatujapishana zaidi ya miaka tuwili..LOL
Ngerezani(SUBANGE) aliushangaza UMMA baaada ya kufaulu std 7 akachaguliwa sabasaba sec...dah karibu Mtwara nzima walijua hili...unamkumbuka mtoto wa Sanga yule dem nzuri kupita wote...alipigwa fimbo na Nachiputa akaenda kumwambia babake...(Usalama wa Taifa) likaja karandinga kumchukua mzobemzobe akapelekwa kunyea ndoo sero pale centarl polisi....mayele hakua mwalimu mkuu alikua mwalimu wa hesabu darasa la saba,mwalimu mkuu alikua mama mwangata....nime mkumbuka subiri ngelezani alikuaga kila mwaka anashika mkia kwenye darasa lao ha ha haaa...enzi hizo niza bado anapiga soka kishule shule,wapi haidari jafari na majula.ha ha ha.
mbona ninyi wenyewe kwa wenyewe mnambwanda kusanuana nani ni nani?mnaishia kutaja majina ya wenzenu tu!...kama vipi nendeni chemba...,sio kesi!Nahhisi we ni classmate angu hakiya Mungu...!! Otherwise hatujapishana zaidi ya miaka tuwili..LOL
Hahaaaa, haya tuanze sasa...hii ni Magoemeni pale juction-VETA, inapitia Mangoela, Chuno, Ocean to Veta
CHAZA, Madame B, geniveros, qn of sheba, chingas, Chinga One, VOICE OF MTWARA, mmhE, hmtk, Mrembo by Nature, Asante, FaizaFoxy
Update'
Nizar ni product ya LIGULA PRIMARY SCH..Ni wa Mwangata yule dogo!!Nizar Khalfan si nasikia alisoma Rahaleo Pr School baadae Ocean!
Hahahahahahahaha..hapana chezeiya huu uzi aisee!!hadi Madame B kasanuka kijogoo kilichomkata utepe!!!
"Side huyo,Side huyo,Mnyamweeezi!!"...hahahahahahaha acha muvi liendelee.
Home Sweet Home!
Ile nyumba ya baniani sijui bado ipo au huo ujenzi wa barabara mpya wamebomoa ila nakikumbuka sana Tena Lori la kuni likipita baada ya kumaliza kuchoma wamama wakianga walikuwa wanaendaga kuokota vipande vya kuni.. chezea fursa wewe..!!
Ila madam mlipinda sana hadi mkamchoma paka lmaoo!!!
Chimpepo yupo, Mwl Fundi yupo, Mwl Munga, Mwl Mandanda...nachiputa sina uhakika sana!! Mwl Mwingira ashastaafu..vp huyu unamfahamu?
CC Madame B
MAYELE alishafariki nadhani miaka ya 2000, ujue kuna uzushi ulitokeaga pale...agh anyway ngoja nimute tu(RIP OUR TEACHER)Jamani hivi kweli Mwl. Mayele alifariki ?? (R.ip) Siamini bado kila mtu anasema lake jamani.
Mashamba yalishakufa zamani Ile minazi inagemewa pombe na mwl. Mayele ndio alikuwa anapenda sana mazingira nakumbuka ndiye alitufundisha wimbo wa Shule. Mwl. Chimpepo mzee wa Riadha sijui yuko wapi nae.
DODI sijasikia kama kafa manake alijiendeleza akawa mkufunzi pale TTC, labda manake sikuhizi mambo ni mengi sanaMwalimu dodi nae ni marehemu kafa kwa ngoma,mayele naskia alirudi kwao nachingwea huko full kunywa matapu tapu akawa kama amedata hivi ila sijui km ni marehemu sasa!!
Nizar ni product ya LIGULA PRIMARY SCH..Ni wa Mwangata yule dogo!!
bhhaaaaaa kwani kuna ntu anokudai na weweeee!kunoga mweee kujikuta nasemaaaaaaaaa weeeee..Ila sio kweli....
Nahigi kitalywepo tuuu
Alaaah kumbe side ndo alitoa bikra...Uwiiiiiiii, mi hoiHahahahaha......sasa nyumba ya baba Hanifa hii
yetu ilikuwa ile ya nyuma yake, Baba Hanifa alikuwa na mwanae Saidi, mwembambaaaaaa, hahahaha maskini bikira yangu, Saidi mbaya weweeee....hahahhaha.
Nasikia pacha mmoja alifariki jamani aliumwa.
Unakumbuka tulipokuwa tunacheza rede ya vipande?...kuleeeeee kwenye mwembe karibu na kwa Mzee Mwakyoma