Usafiri mpya wa treni Addis Ababa

simplemind

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2009
Posts
16,779
Reaction score
9,702
The Addis Ababa's light rail way project worth $475m would be completed by the end of January, the project manager told reporters. The project manager, Behailu Sintayehu,said that 80% of the track has been laid and the rail way would be completed at the end of January, 2015.

The commissioning period is going to take another three months for the first passengers to be on board, he stated. The light rail way consists of two lines running for a total distance of 32km.

It will have underground and over ground sections, 39 stations, and two operators that are the Ethiopian Railways Corporation and Shenzhen Metro.

The $475m cost of the scheme is mostly being met by a loan from China's Exim Bank, and the construction work has been undertaken by the China Railway Engineering Corporation (CREC).

The light rail way of Ethiopia will be the first urban metro light rail scheme to be built in a sub-Saharan country outside of South Africa.

Source:AllAfrica
 

Attachments

  • train.jpg
    55.1 KB · Views: 464
$400 milioni wizi wa ESCROW pungufu kidogo tu kugharamia mradi wa reli kama huu wa Ethiopia.
 
yaaani tunashindwa na watu ambao uchumi wao wanategemea shirika la ndege.................hivi tumerogwa na nani sisi???gas?madini?ardhi yenye rutuba?
 
$400 milioni wizi wa ESCROW pungufu kidogo tu kugharamia mradi wa reli kama huu wa Ethiopia.

Ukijumlisha Misamaa ya kodi,EPA,MEREMETA nafkiri kila jiji lingekuwa na miradi kama hii ya kutosha.
 
Tanzania tunashindwa uamuzi

Nchi zozote zilizopitiwa na uswahili maendeleo yake uwa ni duni sana,kwa kuwa kwenye uswahili hakuna uchapakazi, hakuna elimu( ipo ya dini tu), hakua kuambiana ukweli, kuna unafiki mwingi sana hasa unasababishwa na wazee wanaojiita wa dar au "wenye chama chao,

Kwa hiyo kuwe na dokta au profesa hali ni ile ile maadamu ni mswahili basi, ethiopia viongozi hawauzi ardhi ya wananchi lakini hapa bongo wapo viongozi wa namna hiyo,

kule ethiopia uzalendo umewekwa mbele tofauti na bongo kwani mbongo yupo tayari kushirikiana na wachini kwa madhara ya mbongo mwenzake, hivyo ndugu yangu bila kuondoa uswahili tutabaki nyuma hivi. USWAHILI NI CCM.
 
Tanzania tunashindwa uamuzi

Tanzania ni nchi pekee inayotawaliwa na chama kilichozeeka (in subsaharan) kinachounda serikali iliyozeeka kabla ya hata kuanza kufanya kazi....mabadiliko ya kiuchumi hayatokea hivihivi, ni lazima mabadiliko ya kisiasa yatokee.

our old government is our curse
 
Tuache unafki.Serikali ikiwa na mawaziri ambao wanawajibika vizuri ndo kwanza upinzani mnashirikiana na mamluki ili watoke.Mwishowe mnalialia.Yan tokea Muhongo aondoke uzalendo umeniisha kabisa kwasababu hata upinzani ambao tunawategemea ndo masnitch wakubwa.

Naombea wizara ya nishati na madini na ile ya uchukuzi ziwe zakifisadi zaidi ya mwanzo.
 

Tuonyeshe wewe umefanya lipi kwa nchi yko kama so kupiga domo tu
 
Mpuuzi, huna akili. Acha kutukana lugha na utamaduni. Wewe umeendelea?
 
Huo ndio ukweli, hapa kwetu uswahili umezidi sana.
 
uko sahihi mkuu
 
Ajabu ni kwamba ndio wanaongoza kwa uhamiaji haramu. Sasa sijui tatizo ni hayo maendeleo wanayopata kwao au tupo kishabiki zaidi.
 
Madaktari wa kiethiopia ambao wanaishi na kufanya kazi Marekani, ambao wasadikiwa ni kama 171 kama sijakosea, wanajenga state of art hospita jijini Adis ababa. Na serikali yao, imewapa eneo bure. Sasa jikumbushe yukle wetu aliyejitahidi kurudisha taaluma yake, ni vipi alipigwa vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…