Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,525
Hakuna kitu hatari kama uranium kuanzia kibailojia,kifizikia,kikemia na kivita.
Swala la kusema tuanze kuwa na vinu vya nyuklia ila turudi nyuma kama uwendeshaji utakuwa ni wa serikali basi ni kuleta maafa kama mlivyo fanya Mwendo kasi,bandari na n.k
Uranium itaki uccm wala wakina lucas mwashamba ukazani unadanganya au kuwatoa watu akili.
Uranium itaki watu wajinga na wenye kauli za mafufu na mwijaku ndio maana nchi zenye kuchimba madini haya uwezi kusikia zina kurupuka.
Uranium itaki wasanii ambao leo stive mangere anawapangia watumishi.
Kumbuka uranium ikikosa umakini kuna siku tutakua kama lile tukio la ukrain kinu kilicholipuka na kuhamisha watu wote waliopo eneo hilo walitoka wakaacha mpaka vijiko sababu ya mionzi.
On 26 April 1986, the No. 4 reactor of the Chernobyl Nuclear Power Plant
Na ninavyowajua kwa masifa mnaweza kukiweka Ubungo pale
Swala la kusema tuanze kuwa na vinu vya nyuklia ila turudi nyuma kama uwendeshaji utakuwa ni wa serikali basi ni kuleta maafa kama mlivyo fanya Mwendo kasi,bandari na n.k
Uranium itaki uccm wala wakina lucas mwashamba ukazani unadanganya au kuwatoa watu akili.
Uranium itaki watu wajinga na wenye kauli za mafufu na mwijaku ndio maana nchi zenye kuchimba madini haya uwezi kusikia zina kurupuka.
Uranium itaki wasanii ambao leo stive mangere anawapangia watumishi.
Kumbuka uranium ikikosa umakini kuna siku tutakua kama lile tukio la ukrain kinu kilicholipuka na kuhamisha watu wote waliopo eneo hilo walitoka wakaacha mpaka vijiko sababu ya mionzi.
On 26 April 1986, the No. 4 reactor of the Chernobyl Nuclear Power Plant
Na ninavyowajua kwa masifa mnaweza kukiweka Ubungo pale