Nimesikia mara nyingi kauli hii "kuna mambo yasiyo ya Muungano na yaliyo ya Muungano",. Kwa uelewa wangu Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tz wanashughulikia yale mambo ya Muungano, wakati ambao Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inashughulikia mambo ya yasiyo ya Muungano kwa upande wao. SWALI: Mambo yasiyo ya Muungano kwa upande wa Tanganyika chombo gani kinayashughulikia? Kumbuka si sahihi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tz kushughulikia mambo yasiyo ya muungano ya upande mmoja tu.