Upishi wa mlenda

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
6,515
Reaction score
18,998
Mahitaji:

1- Bamia kilo 1
2- Nyanya 2
3- Nsusa
4- Ntwili
5- Kitunguu 1
6- Magadi

Namna ya kupika katakata bamia nyanya na vitunguu vichemshe huku unachanganya na magadi baada ya hapo weka ntwili Kisha malizia na msusa acha vichemke kwa dakika Kama 5 Tia chumvi yako mlenda utakua tayari.

Pishi letu hilo unaeza kula na ugali au wali

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…