Kama upo aisee.
Kuna mwalimu wa shule ya msingi headmistress kaolewa na jamaa jobless, basi mwanamke kamzingua nini sijui jamaa, kilichofuata jamaa alimchapa makonde mwanamke utasema Floyd MyWeather yupo ulingoni na Manu Pacquiao
Baada ya kipondo heavy demu kakimbilia polisi,