Updates usaili TBS!

FAFI

Member
Joined
Jun 9, 2015
Posts
36
Reaction score
0
Samahanini wakuu kuna watu wanasema TBS hawatoi majina ya usaili mpaka uchaguzi mkuu upite...Hivi kuna ukweli kuhusu hili?? Na kama kuna ukweli naomba tusipige kura
 
Samahanini wakuu kuna watu wanasema TBS hawatoi majina ya usaili mpaka uchaguzi mkuu upite...Hivi kuna ukweli kuhusu hili?? na kama kuna ukweli naomba tusipige kura

waliokwambia uwaulize tena.
 
Wameita watu kqenye usaili mbona, wewe kama hujaitwa ujue huhafanikiwa, mdogo wang aliomba nafasi tatu zote kaitwa.

Msidanganyane wakuu.
 
Wameita watu kqenye usaili mbona, wewe kama hujaitwa ujue huhafanikiwa, mdogo wang aliomba nafasi tatu zote kaitwa.

Msidanganyane wakuu.

wamemuita lini n kwanafasi zipi? TBS huwa wanatoa majina kwenye web yao tena hawana magumashi.
 
Wameita watu kqenye usaili mbona, wewe kama hujaitwa ujue huhafanikiwa, mdogo wang aliomba nafasi tatu zote kaitwa.

Msidanganyane wakuu.

Nadhani ingekua vizuri kama ungeweka kua huyo mdogo wako ameitwa kwa njia ipi, simu, email au tangazo na chanzo ni nini na lini wanaenda kwenye usaili ndiyo utakua umetusaidia sisi wengine.
 
TBS huwa wanatoa majina ktk website yao tu huwa hawapigi simu, mimi sijaona majina na kila siku huwa nafungua
 
awp Hamna cha majina wala nn, bdo hawajatoa
 
du jaman kaz kwel kwel kwann wasiwe waz kama kwel wametoa? asanten kwa taarfa mawazo yangu watatumia cm kumbe n web yao 2 da pamoto hapo, kuwasaidia na wengne n bora mtu apatapo matokeo hayo atoe taarfa jf
 
du jaman kaz kwel kwel kwann wasiwe waz kama kwel wametoa? asanten kwa taarfa mawazo yangu watatumia cm kumbe n web yao 2 da pamoto hapo, kuwasaidia na wengne n bora mtu apatapo matokeo hayo atoe taarfa jf


Karibu ndg, Majina ya walioitwa kwa ajili ya Usaili wa BOT yanapatikana kwenye mtandao. Tembelea mtandao wetu wa jfasta.com (www.Jfasta.com ) utayapata majina yote sasa.

Endelea kutembelea www.Jfasta.com
 
TBS huwa wanatoa majina kwenye website hakuna kupiga simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…