Tanzania haijawahi kumpata IGP wa ovyo kama huyu shemeji ya Jk saidi Mwema. Ni mbabaishaji, mwenye kujipendekeza, amejaa ukabila, udini, rushwa na kila namna ya uchafu. Kwa hakika kuwepo kwake katika nafasi hiyo, kama ilivyo kwa aliyemteua ni janga kwa Taifa. Historia itamhukumu.