uongozi wafafanua

saimon amos

Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
16
Reaction score
7
Mshambuliaji wa mabingwa wa kihistoria Tanzania @heritier_ebenezer ataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Mwadui Fc kutokana na kuwa na kadi tatu za njano.

Tofauti na inavyosambaa kwenye mitandao ya kijamii, Makambo yupo na hajatoweka kama wengi wanavyo sema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…