University of Dodoma(UDOM) special thread

Jhaxan

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2015
Posts
403
Reaction score
191
Huu ni uzi maalum kabisa kwa Wanafunzi wanaoendelea na masomo(Continuing students) na wale Wanafunzi wapya waliochaguliwa (First year students) kuweza kujuzana kuhusu taarifa na mambo mbalimbali kuhusu chuo chetu pendwa kabisa cha Dodoma (UDOM)...Hivyo basi yeyote mwenye swali,maoni ama changamoto anaweza ileta hapa na kuweza kusaidiwa
University of Dodoma (UDOM)
EMBRACING KNOWLEDGE View attachment 854089View attachment 854090

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • images(4).jpg
    27.7 KB · Views: 62
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…