Umoja wa Afrika ndio suluhu ya matatizo yetu,pia kuzikaribisha nchi za karibiani ni wazo zuri zaidi ili tuwe na himaya kubwa zaidi.Ukweli ni kwamba Afrika ilikuwa moja kabla ya wakoloni kuigawanya ili waweze kuitawala,pia ni lazima wakoloni watulipe fidia,kwa yote waliyotufanyia manake ulikuwa ni uzandiki na unyonyaji wa hali ya juu.Pia ni lazima kuzikemea nchi zinazoingilia mambo ya ndani,ya nchi zetu.Ushauri wangu ni kwamba lazima tuungane ili kuweza kuwa na sauti moja,,,,,,