Umeona eeh,sasa mteja wa hiyo 15ml atamtafuta kwa tochi.Kweli hali mbaya.
Ulikuwa unauza 20mil.
Mteja alihitaji kwa 14mil ukamjibu mwisho 18mil.
Leo unauza 15mil sasa si bora ungechukua ile 14mil fasta ili ufanye mambo yako.
Kesho nakuja niangalie nikiipenda tufanye biashara.
Mkuu njoo uingalie uchukue kwa 14 tufunge biasharaKweli hali mbaya.
Ulikuwa unauza 20mil.
Mteja alihitaji kwa 14mil ukamjibu mwisho 18mil.
Leo unauza 15mil sasa si bora ungechukua ile 14mil fasta ili ufanye mambo yako.
Kesho nakuja niangalie nikiipenda tufanye biashara.
Mkuu hiyo nyumba ipo kwenye uwanja wa ukubwa gani?Mkuu njoo uingalie uchukue kwa 14 tufunge biashara
bora nikatafute hata RAV 4 old model tu...hapana kwa kweli..Mkuu njoo uingalie uchukue kwa 14 tufunge biashara
Hicho kiwanja kina ukubwa gani?Habari wakuu. Now bei imepungua, bei ya mwisho ni 15 mill.
Unfinished house
Vyumba vitatu vya kulala na kimojawapo master
Sebule na jiko
Gari inafika mpaka kwenye Nyumba. View attachment 407100
Contact 0713196055
Ok poa Mkuu.20 kwa 20 mkuu