nilishawahi beba hirizi wakati nacheza soka, miaka ya tisini . Wakuu kitu kinapumua kweli usifanye masikhara, tulichoambiwa cha kutisha, kwanza hakuna kufanya mapenzi 24hrs before match, halafu lazima uoge kabla ya kwenda kwenye mechi, halafu ukiwa uwanjani ukabana na mpinzani wako km ana hirizi basi zitashindana itakayoshindwa yule aliyebeba anaweza vunjika mguu au kiungo chochote kile, kingine mkimwona mtu aliyebeba hirizi amedondoka chini from nowhere kimbieni toeni hirizi ikojoleeni itaisha nguvu, lkn mki mkimbiza hospitali bila kutoa hirizi akichomwa sindano tu basi ndo safari hiyo kwishnei no life.ndo yaliyowatokea akina sembuli uwanjani haya. Soka letu haliwezi kukua hata siku moja bado miushirikina ipo mno kwenye mind za viongozi wa timu zetu