Unaweza kumuacha umpendae?


mhhh...yale yale...kweli kuchokwa kubaya.
 
@chauro @afrodenzi mi sio mnachobishana hapo nyie wote mko sawa ila katika mtazamo tofauti njia sio tatizo cha msingi ufike unapokwenda na kwa muda unaotakiwa.Hakuna mtaalamu kwenye mambo haya ila kila mmoja ana Strategy zake so ur al ryt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…