Unategemea kupata mtoto karibuni?


Hivi haya majina magumu mnayatoa wapi
.
wa kike
Kabula
Shishi
Manka
Robi
Gati
Akinyi
Odoi
majina saaaaaaaaaafi kabisa ya kibantu
 
........Bryan mbona sijaliona hapo? Nalipenda hili jina, nikipata mtoto wa kiume tu hili ndio jina lake.

Pretty, majina ambayo ni common sikuyaweka kama Bryan, Collins etc.
 
umesahau Lusekelo, Amani, Muumini, Sikudhani, Semeni, Havijawa, Mkegani nk
teh teh teh - mkuu unanikumbusha mitaa ya mbagala, manzese, tandare ukikatiza lazima usikia moja kati ya haya -- "we havijawa njoo uchochee maharage...."
 

kazi nzuri hii tunawapa JF wigo mkubwa wa kuchagua - Asante!
 
Hivi haya majina magumu mnayatoa wapi
.
wa kike
Kabula
Shishi
Manka
Robi
Gati
Akinyi
Odoi
majina saaaaaaaaaafi kabisa ya kibantu

duh, haya ya kifipa tunapumzika nayo tunataka ya kithungu kuweka radha. (mvuto)
 
Kinjekitile, Havijawa, uyaone, chuki, havintishi(tishi),
 
Mengine ni Shiletio,Nningansia,Aletaramo,Shisalalyia,
 
Mwanangu hili ELNINO linaweza kumfanya mtoto aone kizunguzungu kila wakati.
kuwa mwangalifu kumpa mtoto jina la ELNIN0 maana atakuwa akiona dimbwi la maji basi analilia akalale ndani

Na akiwa mtu mzima anaweza jenga nyumba yake kando kabisa ya Mto Rufiji na kuwashangaza wanafamilia.
 
hili jina limekaa ki ungomvi ugomvi - atapiga hadi mume wake. hiri ni ra kikurya mkuu.
nyabwire si la kikurya. Sisi kikwetu majina ni
mwita
marwa
chacha
bhoke
rhobi
ghati
matiko
nyanchaghe
wariobha
maranya
range
keraryo
makorere
wangwe
moreme
nyangi etc, etc sasa hayo ya kina allan, careen, sijui doreen na maureen tutayajulia wapi?
 
kuna majina kama Shida, Mawazo, Matatizo, Mashaka, Vumilia na Kaburi pia yanafaa
 
tuambie na maana ya majina hayo, sisi wengine watoto wetu huwa tunaita majina yenye maana tu. usijeita jina la kidhungu ukajashtuka mtoto wako jina lake manayake ni shetani au adui.
 
mengine haya

boys
Shungu
Nzunye
Mwawa
Ndambo
Ndele
Lyego

Girls
Shimba
Tabu
Mbozyo
Shaali
Ilongo
Nzalu
Zerina
Shogoo
Siya
 
Mwanahamisi
Sikudhani
Sikujua
Mwajabu
Fikirini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…