Huyuu jamaa anaitwa Burton Mwemba maarufu kama Mwijaku,alisoma Mzumbe University, kwa waliosoma Mzumbe kipindi chake hawezi kumshangaa,ndio tabia zake hizo!
Mji gani?Mliokuja town na mabehewa ya ng'ombe mtajuana.
Mkuu acha kutunga, Kuna interview yake alikua anahojiwa na mdada, amesema amesoma UDSM (PA) sasa wewe unasema mzumbe, sijiu tumuamini wewe au yeye
Yule ni mwehu aisee!😅😅😅me mwenyewe aliniacha hoi kweli,hivi je akimuoa atakunya kweli huyu si atatamani muda urudi nyuma,,
Mkuu wala tusibishane, tafuta hiyo hapo interview youtube, anaelezea historia yake, na anasema kilichomleta Dar ni elimu, na kasomea UD, kaeleza mkapa yeye ni mtoto wa ngapi, sijui wako wangapi nk, so tafuta hiyo hapo then ulete mrejesho, la sivyo kama kasoma mzumbe nayeye kasema kasoma UD atakua tapeliKaka siyo natunga huyoo kasoma Mzumbe,na alikua maarufu kwa kukata kiu,waliosoma Mzumbe wananielewa,mwaka wa tatu alipata matatizo nadhani hakugraduate!
Alikua na msala fulani wa utapeli hadi kesi ikaenda mahakamani kati ya Mzumbe University na yeye!
Wote mpo sahihi.Mkuu wala tusibishane, tafuta hiyo hapo interview youtube, anaelezea historia yake, na anasema kilichomleta Dar ni elimu, na kasomea UD, kaeleza mkapa yeye ni mtoto wa ngapi, sijui wako wangapi nk, so tafuta hiyo hapo then ulete mrejesho, la sivyo kama kasoma mzumbe nayeye kasema kasoma UD atakua tapeliView attachment 1000280
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wala mi sibishani na unachokisema!inawezekana hakutaka kuweka wazi labda kutokana na matukio aliyofanya Mzumbe!Mkuu wala tusibishane, tafuta hiyo hapo interview youtube, anaelezea historia yake, na anasema kilichomleta Dar ni elimu, na kasomea UD, kaeleza mkapa yeye ni mtoto wa ngapi, sijui wako wangapi nk, so tafuta hiyo hapo then ulete mrejesho, la sivyo kama kasoma mzumbe nayeye kasema kasoma UD atakua tapeliView attachment 1000280
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote mnaweza mkawa sahihi maana yeye anasema amesoma UD na wewe unasema Mzumbe hivyo huenda kwa kuwa Mzumbe hakumaliza ndio maana hasemi amesoma mzumbe na badala yake anasema UDKama Mkuu wala mi sibishani na unachokisema!inawezekana hakutaka kuweka wazi labda kutokana na matukio aliyofanya Mzumbe!
Ila amesoma Mzumbe hadi third year ila hakugraduate kutokana na mambo ya Utapeli na hadi kesi ilikua Mahakamani kuna first year aliwatapeli!
Amefanya matukio mengi sana Mzumbe Mkuu!
Upo sahihi Mkuu!nakubaliana na wewe!Wote mnaweza mkawa sahihi maana yeye anasema amesoma UD na wewe unasema Mzumbe hivyo huenda kwa kuwa Mzumbe hakumaliza ndio maana hasemi amesoma mzumbe na badala yake anasema UD
Sasa kwa vitabia hivi kugeuka bwabwa mbona sio kazi. Huwa inanishangaza mno, mwanaume (ambaye kidesturi na kimaandiko ana jukumu la kutafuta) anapata wapi muda wa kujadili maisha ya wengine (hadi wanawake) na bado anapata muda wa kufanya kazi kama hatunzwi huyo?Huyuu jamaa anaitwa Burton Mwemba maarufu kama Mwijaku,alisoma Mzumbe University, kwa waliosoma Mzumbe kipindi chake hawezi kumshangaa,ndio tabia zake hizo!
Kumbe ndio alivyo toka kitambo. Basi sawa.Huyuu jamaa anaitwa Burton Mwemba maarufu kama Mwijaku,alisoma Mzumbe University, kwa waliosoma Mzumbe kipindi chake hawezi kumshangaa,ndio tabia zake hizo!
Nami nakumbuka nimemwona sana UDSM wakati nasoma.Kama Mkuu wala mi sibishani na unachokisema!inawezekana hakutaka kuweka wazi labda kutokana na matukio aliyofanya Mzumbe!
Ila amesoma Mzumbe hadi third year ila hakugraduate kutokana na mambo ya Utapeli na hadi kesi ilikua Mahakamani kuna first year aliwatapeli!
Amefanya matukio mengi sana Mzumbe Mkuu!
Sasa na ww unaamini hujui kua wanadanganyaga kwenye interview??Mkuu wala tusibishane, tafuta hiyo hapo interview youtube, anaelezea historia yake, na anasema kilichomleta Dar ni elimu, na kasomea UD, kaeleza mkapa yeye ni mtoto wa ngapi, sijui wako wangapi nk, so tafuta hiyo hapo then ulete mrejesho, la sivyo kama kasoma mzumbe nayeye kasema kasoma UD atakua tapeliView attachment 1000280
Sent using Jamii Forums mobile app
Funguka basi hayo matukioKama Mkuu wala mi sibishani na unachokisema!inawezekana hakutaka kuweka wazi labda kutokana na matukio aliyofanya Mzumbe!
Ila amesoma Mzumbe hadi third year ila hakugraduate kutokana na mambo ya Utapeli na hadi kesi ilikua Mahakamani kuna first year aliwatapeli!
Amefanya matukio mengi sana Mzumbe Mkuu!