Una akili ww??

Kaboom

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2011
Posts
10,832
Reaction score
15,032
Natamani bigiji ingeuzwa laki,gunia la gomba lingeuzwa jero/
Ccm sare ziwe kaki,chadema wangetinga kijani na yellow/

Igundulike Tiffa ni mtt wa Linex na Zari/
halafu Jackline Wolper ndo alikuwa dalali/

Waza wema sepetu kaolewa na kimbunga/
Salama J ndo mjane wa Kanumba/

Mtt wa Mwamunyange na MSAGA SUMU ni wachumba/
Ben pol ngoma ya sophia angeimba kama Tunda/

Vipi mrisho Mpoto angekuwa Hemed Phd,Angeburuza sana wachumba

Uhawaza Ney wa Mitego awe mfagia barabara/
Halafu Mr Blue konda wa daladala/

Vipi Izzo B ahazimwe Rasta na Afande sele/
Hlafu Masogange amuhazime tako Dyna Nyange/

Vipi Divalovenss angekuwa mchepuko wa mengi/
yayayayaa!!!! hapo tungeona mengi

Baghdad&Roma
 
Last edited by a moderator:
Hahahaa
eti mzee majuto ndio dingi yake riziwan
 
Ngoja Inspector Haroun aje amjibu tena huyu mla majani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…