B BERN_92 New Member Nov 4, 2015 2 0 Dec 11, 2015 #1 Nataka kujua elim ya kidato cha sita ina msaada gani mtaani?
D Daren Dedan Member May 6, 2014 10 2 Dec 12, 2015 #2 ina msaada, kwani unapomaliza kidato cha sita unaenda moja kwa moja chuo kuanza degree halafu ukipitia kidato cha sita unaonekana educate person hata kupata kazi ni rahisi sana tofauti na asiyepitia kidato cha sita
ina msaada, kwani unapomaliza kidato cha sita unaenda moja kwa moja chuo kuanza degree halafu ukipitia kidato cha sita unaonekana educate person hata kupata kazi ni rahisi sana tofauti na asiyepitia kidato cha sita