Umewahi kuckia hii..?

Zuia Sayayi

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
841
Reaction score
140
Mchungaj m1, alikuwa amepotelewa jogoo wake, ikabidi atangaze kanisan;
"JAMAN NANI KAONA JOGOO WANGU" mara wanakwaya 4 (wanawake) wakanyoosha mkono, akasema "mh ni nyie tu"..?, gafla masister karibu wote wakanyoosha mikono, akasema tena, "hapana jamani sio hivyo nauli JOGOO yangu ile NYEUSI", Tena wakanyoosha mabinti 6 kutoka bench la nyuma. Yule Mchngj kuona vile ikabd asingizie afya imegoma ili asiendelee na IBAADA du..!.
 
Umechakachua afu ukaharibu mazima arif
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…