Umesumbuliwa na Vidonda vya Tumbo kwa muda Mrefu.

Umesumbuliwa na Vidonda vya Tumbo kwa muda Mrefu.

Kaie

Member
Joined
Oct 9, 2016
Posts
48
Reaction score
24
JE VIDONDA VYA TUMBO LIMEKUWA NI TATIZO SUGU KWAKO?

Piga/Whatsapp:
+255 719 700 745 na/au +255 677 368 220.

4713272a0dcb5f609e32860c4cad2638.jpg


Yawezekana umepata tatizo la Vidonda vya Tumbo na kusumbuka kwa Muda mrefu.

Njoo upate bidhaa za asili ambazo ni virutubisho vitakavyosaidia kumaliza tatizo lako.

Tatizo hili linakuwa kwa kasi kutokana na mfumo wa maisha kubadilika kwani watu wengi tunakula vyakula vyenye madhara kiafya..yani kemikali mbalimbali ambazo hupelekea constipation na hatimae matatizo ya Vidonda ya Tumbo.

Karibu sana.
 
haya tutakaribia japo ungeweka na bei ya dose na inachukua mda gani kupona ingefaa zaidi. I prophesize dawa zako zitakuwa aghali sana
 
Nimeweka namba ya simu. Unahitaji tuwasiliane, cruhusiwi kuweka bei public.
Ningependa nieleweke hvy.
 
Bac unafanya kazi ktk kampuni ya kitumwa..boss wako anakunyima kutaja bei public...? Bac usijali....nenda kamuuzie yeye mwenyewe.......
Nashukuru kwa maoni yako.
Naamini wapo, watakaokuwa na shida na bidhaa hizi wao, watataka ufumbuzi kwa hiyo watanitafuta kupitia namba nilizoweka hapo.

Ahsante.
 
Hujiamini....

Pia hua mnataja bei tofauti kulingana na muonekano wa mteja,ndomana hudisplay price lolz......
Ndugu, sina sababu ya kukutajia bei tofauti na iliyopangwa.

Hoja yangu iko wazi.
Naamini kama kweli unahitaji bidhaa yangu hutajali kutajwa kwa bei hadharani..utanifuata kwenye namba niliyoweka hapo, na kuuliza yote.
 
Ndugu, sina sababu ya kukutajia bei tofauti na iliyopangwa.

Hoja yangu iko wazi.
Naamini kama kweli unahitaji bidhaa yangu hutajali kutajwa kwa bei hadharani..utanifuata kwenye namba niliyoweka hapo, na kuuliza yote.
Kingine, kutoweka bei hadhari hakuna uhalisia wo wote na kujiamini kwangu.
Naomba nikusaidie kupitia namba nlizoweka hapo, tafadhali.

Ahsante.
 
Uchawi wenyewe unawekwa na bei sembuse hiyo mitishamba
 
Ndugu, sina sababu ya kukutajia bei tofauti na iliyopangwa.

Hoja yangu iko wazi.
Naamini kama kweli unahitaji bidhaa yangu hutajali kutajwa kwa bei hadharani..utanifuata kwenye namba niliyoweka hapo, na kuuliza yote.
Sasa kama bidhaa yenyewe bei ishapangwa na huwezi taja tofauti na ilivyopangwa why usiitaje hadharani?
 
Sasa kama bidhaa yenyewe bei ishapangwa na huwezi taja tofauti na ilivyopangwa why usiitaje hadharani?
Kwanini unaendeleza maneno ambayo hayana msingi...
Unahitaji bidhaa namba ziko hapo.
Unadhani unahitaji huduma yangu, usitumie nguvu nyingi kulaumu hapa kuweka bei.
 
Matangazo ya namna hii yanafaa kufutwa, au yalipiwe kabisa.
 
Back
Top Bottom