Hii ngoma ni nchi nzima ndugu. Sasa imagine for two hours walizokata wamepoteza bilioni ngapi? Lets think greatly hapo. There is no way mtu ataniambia uchumi unakua kwa 7% itakuwa ni among the seven wonders za dunia.
jamani grid ya taifa ilishake kwa kuwa na inductive loads kutoka kwenye viwanda. ndio maana mmeona nchi nzima ulikatika. ze grid was dead ispokuwa magogoni ulikuwa unawaka maana hapo kama kawaida