nipo huku mitaa ya kigogo tangu asubuhi hamna huduma hiyo.Na jinsi jua linavyowaka huku dar,ndio utajua kwanini ccm haitakiwi tena kuendelea kututabisha kiasi hiki.Miaka zaidi ya hamsini madarakani inashindwa kutupa hata umeme wa uhakika,wanataka tanesco aendelee kuwa mtoa huduma hii pekee pamoja na mwendo wake wa kuchechemea wao ndio wanavyopenda ili wazilete kampuni zao uchwara like iptl waendelee kuvuna mabilioni.Inatosha huu mgao wa kimya kimya utangazwe rasmi.na ile kauli ya mgao wa umeme utabaki kuwa historia itenguliwe.Thanx tanesco kwa kutubanika katika nyumba hizi zilizoshanana ambazo bila umeme ndani hakukaliki
cc vingunguti,buguruni kwa mnyamani,kiwalani,tandika,keko,manzese