Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,870
- 2,176
Barcelonaumeandika nini Sasa kwani huyu gaucho na etoo hawajahi kutwaa ndoo hapo camp nou?
Gaucho
Kipindi chote hicho ana uefa moja tu, sasa utasemaje huyu alikuwa na msaada mkubwa pale?
Alipoingia Messi ndani ya timu nini kikatokea? Makombe yalianza kutiririka kama maji sio.
Barcelona
Messi
- La Liga: 2004–05, 2005–06, 2008–09, 2009–10, 2010–11, 2012–13, 2014–15, 2015–16, 2017–18, 2018–19=10
- Copa del Rey: 2008–09, 2011–12, 2014–15, 2015–16, 2016–17, 2017–18, 2020–21=7
- Supercopa de España: 2005, 2006, 2009, 2010, 2011, 2013, 2016, 2018=8
- UEFA Champions League: 2005–06, 2008–09, 2010–11, 2014–15=4
- UEFA Super Cup: 2009, 2011, 2015=3
- FIFA Club World Cup: 2009, 2011, 2015=3
Barcelona
Etoo
- La Liga: 2004–05, 2005–06, 2008–09
- Copa del Rey: 2008–09
- Supercopa de España: 2005, 2006
- UEFA Champions League: 2005–06, 2008–09
Hapo atleast kwa etoo jamaa nikua namkubali sema tu ni mtu mweusi ndio maana akaonekana wa kawaida kwa gaucho, but kwangu Etoo is betterthan gaucho! Na walifanya maamuzi sahihi kumtema.
🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥