Ulinzi Uimarishwe Kisutu

Natamani kuwa miongoni mwa Team ya kichoma vituo hivyo.
 
Qmmmko
 
Huyu sio Mchaga, kwao ni Geita, hilo ni jina la uongo
Bora umeliweka wazi hili, siku zote huwa ninashangaa ni Masawe wa wapi huyu ambaye wenzake wako busy na biashara, lakini yeye kutwa kuchwa ameinama kulamba viatu vya wanaume wenzake!??
 
TELE COURT LISTENING, WATU WAJAZANE KISUTU KUFANYA NINI?
 
Hili la kuzitaja Canada, Belgium na Germany kuongoza vikundi vya uhaini nchini limekaaje kidiplomasia? Hizo bukubuku mnazolipwa zisiwapumbaze kiasi hicho cha kuvuka mipaka. Naamini hili hata waliokutuma watakushangaa na huenda hizo bukubuku ukazipoteza.
 
Kwamba wakenuliwe 32 nje meno kwakufanya hujuma inayogusa kodi yangu? Ikumbukwe kwamba hakuna kipofu mjinga anayeweza kupita njia yenye simba! Siku Zote ukishaona ulinzi ni mkali ujue usalama ni mdogo, ninachoshukuru mimi sijui nipo kwenye uzalendo au uchawa ila nimejifunza kwamba ukihisi Hali ya hatari basi ongeza kiwango cha umakini kwenye tahadhari! Wakuu Kuna watanzania wengi Sana ndio wateja wangu muda huu wanapiga supu kuku, mbuzi ugari pander,, endeleen na ujinga wa siasa
 
sidhani ktk dunia ya leo kama tuna massawe mjinga hivi
 
Mpumbavu katika 1 na 2
 
Hivi huyu mpumbavu si ndio alimuwekea sumu yule mwanaharakati wa ccm ambae alifariki?
 
Your browser is not able to display this video.

Usichelewe na Hawa kuwapa sumu
 
Msitake kuifanya chadema na wafuasi wake ni kundi la fujo na vurugu, hawako hivyo. Wanataka kwenda kusikiliza kesi ya mwenyekiti wao hawaendi kumkwapua mikononi mwa dola inayomshikilia. Polisi wanajisumbua bure kujazana mahakamani hakuna mwenye kuleta fujo acheni mentality hiyo mbovu na ya aibu kwa nchi yetu tunamulikwa na mataifa ya nje. Unakuta mapolisi yamevalia kivita kana kwamba kutakuwa na vita mahakamani, wanaaibisha nchi
 
Hakuna Amani kuna kulazimisha watu kutii. Usitudanganye. CCM mnatudanganya sana na Amani uchwara. Haki iwepo ndo amani iliyo na haki itakuwepo. Kwa hiyo ccm ndo inajua kuleta amani tu. Nyie watu siyo kabisa. Amani ya virungu si amani ni udikteta.
Watu kunyamazishwa siyo amani ball ni kulazimisha watu wasalimu amri kwa majukumu ya kijamii, (kitaifa)

Silence surrenders public responsibilities
 
Weka polisi wawili watatu wasiovalia kivita pale makamani jumlisha na wa magereza wenye kuvalia kawaida wasio na sura za kivita, ruhusu wananchi wapenda chadema wenye nafasi ya kwenda mahakamani kusikiliza kesi ya mwenyekiti wao shupavu. Hata wasio wanachama wa chama hicho wanataka kwenda kusikiliza kesi hiyo waachwe tu hakuna mwenye nia ya kufanya fujo mahakamani, watanzania ni waungwana mambo ya fujo si jadi yao
 
Kwanini wasiangalie kupitia mtandaoni si itakuwa live kwenye mtandao? Hapo Kisutu hakuna chumba ambacho kinaweza kuingiza wasikilizaji zaidi ya 100. Sasa hapo wataenda kukaa na kusikiliza kesi kweli? Kumbuka kuna kesi zingine zinaendelea hapo mahakamani hivyo busara ni kufuatilia hiyo kesi kupitia mtandaoni kwanza kesi yenyewe bado haijafikia kuanza kusikilizwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…