Ulevi Noma jamani

Duh!ulewaji gani kaangusha gari exsost juu,au anamtega mtu?ngoja akojolewe
 
Hii nzuri lazma akiamka asubuhi harudii tena kupiga mtungi.
 


Hapo jamaa yupo HoLwood kwenye casino la nguvu na kina PAFU DADI.
FUSO
Huyo amekaa mkao wa kifiro
Matiti mabega
Akiamka atakuwa na raha mstarehe
Kwani shida ya kulala hivyo ni kusuguliwa mnyelo

Bazazi
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…