Nadhani kinachopaswa kuzingatiwa ni kanuni.!! Atakachopewa na mkwepaji kiwe mara mbili au tatu ya kile alichokikwepa.Hao watumishi wa TRA wameshiba?wasije wakajinufaisha wao badala ya kunufaisha Taifa kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nadhani hapa ni maumivu na uzalendo tunaofanya mahali kwingine halafu kuna mtu kirahisi rahisi tu anakwepa kodi na ukimuelewesha anakuletea jeuri "kama hutaki acha mzigo"!hapo kwenye kulinganisha thamani ya kitu na kilichoandikwa kwenye risiti mh cjakuelewa na itajua ni usumbufu sasa kuanza kubishana na tra kua sijanunua bei
bei ilioandikwa kwenye risiti ndo niliyonunulia mzigo bas!! tusilazimishane kua sijanunua ivyo
yule anaeuza kila mteja anakua na bei yake inategemea jinsi alivyokushawishi mpaka ukakubali kufikia bei yake kiufupi maswala ya bei ni yangu na ya alieniuzia basi!!
Sent using Jamii Forums mobile app