IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,230
- 1,925
Mnaangamiza nchi kwa kutaka wote tufikirie atakavyo bwana mkubwa. Ni ujinga mkubwa kuziba watu midomo wasiyatoe mawazo yao hasa waandishi wa habari. Kinachofanyika sasa ni hatari kwani kinawapa watu binafsi mamlaka juu ya wengine na kuwafanya wananchi wasiwe na pa kusemea mawazo yao kama yako tofauti na wenye mamlakaKwanza kabisa niwape pole familia ya kabendera,wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya kabendera kwa upande wake ,kwakua wataonekana hawana ubinaadamu,
Lakini kama nchi ,kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana raisi atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake,na bado jeshi la polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya kabendera,
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,
mahakama wafanye kazi yao,
Ndio watakao toa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Foolishness starts from how you present your ideas, that’s why I realized I might be dealing with a nincompoop, and if so why should I waste my precious time? Hasta la visita el tipo que no piensa con la cabesaYou r so foolish..thats why you count on the way I write n not on contents, reasoning zero! may be cramming..
Nimekwepaje labda?Kukwepa kodi na kuhujumu uchumi sio lazima uwe unafanya biashara tu, hata wewe hapo ulipo umeshakwepa sana ndikwega
Akili ya hayawani tu ndio hushikilia vitu vidogo vidogo na kupumbazwa kujua lugha kama sifa, ilihali uwezo wa kufikiri ni sifuri..kichwa chako kimebeba kinyesi cha kuku.Foolishness starts from how you present your ideas, that’s why I realized I might be dealing with a nincompoop, and if so why should I waste my precious time? Hasta la visita el tipo que no piensa con la cabesa
Sasa wewe hapo kama sio zezeta ni nani, maana hata logic thinking huna, hujui kujenga hoja unakalia matusi tu, kama sio uhayawani ni nini. Go back to school and learn civilization. Kwenda shule ni pamoja na kuelimika na kuwa mstaarabu sio kupayuka kwa kutukana as if umekulia uswahilini.Akili ya hayawani tu ndio hushikilia vitu vidogo vidogo na kupumbazwa kujua lugha kama sifa, ilihali uwezo wa kufikiri ni sifuri..kichwa chako kimebeba kinyesi cha kuku.
Kwa hiyo kumtukana rais na serikali siku hizi ndo kuhujumu uchumi na kutakatisha fedha?Guys are you out of your mind?Kwanza kabisa niwape pole familia ya Kabendera, wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya Kabendera kwa upande wake,kwa kuwa wataonekana hawana ubinaadamu
Lakini kama nchi, Kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana Rais atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake na bado Jeshi la Polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya Kabendera
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,mahakama wafanye kazi yao ndio watakaotoa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Nilitegemea kwa kuona kichwa cha habari kizito, kwamba utaandika facts.Kwanza kabisa niwape pole familia ya Kabendera, wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya Kabendera kwa upande wake,kwa kuwa wataonekana hawana ubinaadamu
Lakini kama nchi, Kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana Rais atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake na bado Jeshi la Polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya Kabendera
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,mahakama wafanye kazi yao ndio watakaotoa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Huwa wanalipwa kumbe?Hii ni kwa hisani ya buku saba saba na free WI-FI ya pale Lumumba.
Alafu! Nakumbumbusha kuwa,ni mwiko kuongea huku ukitafuna, ona sasa unatema tena pumba.
Ndikwega nadhani wewe bado upo dunia ya vikatuni.Wewe unadhani mhujumu uchumi ni mfanya biashara tu ?Kukwepa kodi na kuhujumu uchumi sio lazima uwe unafanya biashara tu, hata wewe hapo ulipo umeshakwepa sana ndikwega
Kakiri makosa yake na mahakama imemtia hatiani amefutiwa shitaka moja tu!Baada ya miaka kadhaa:Mahakama imemfutia mashitaka Kabendera baada ya DPP kutoa notice ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi!!!!
Wadau: daaaaaaah,Mungu yupo!
Upo!Kwani Mkuu kwanini sasa tunadangaywa kuwa Uhujumu uchumi kumbe hilo siyo tatizo kubwa, maana content nzima ya Andiko lako ni Kumchafua Mfalme wenu.
Halafu Kabendera anafanya biashara gani mpaka aingie Kukwepa Kodi na kuhujmu Uchumi? Hata haingii akilini hata Kidogo.
Kwanza kabisa niwape pole familia ya Kabendera, wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya Kabendera kwa upande wake,kwa kuwa wataonekana hawana ubinaadamu
Lakini kama nchi, Kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana Rais atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake na bado Jeshi la Polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya Kabendera
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,mahakama wafanye kazi yao ndio watakaotoa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Manji naye alikuwa na makosa gani vile
Yes,ameona anaweza kuzungushwa mpaka JPM anatoka madarakani kuwa uchunguzi haujakamilika!Kukiri ili aachiwe huru nao ni uamuzi wa busara,haina maana ana hatia!Kakiri makosa yake na mahakama imemtia hatiani amefutiwa shitaka moja tu!
Lugola mahakamani lini nayeKakiri makosa yake na mahakama imemtia hatiani amefutiwa shitaka moja tu!
Alitoroka?Masikini Manj, nasikia yupo Canada anakula kuku wake
In God we Trust
Kuna mambo Musiba aliwai kuyasemea kuhusu Kabendera…naomba mrejee!Kwanza kabisa niwape pole familia ya Kabendera, wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya Kabendera kwa upande wake,kwa kuwa wataonekana hawana ubinaadamu
Lakini kama nchi, Kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana Rais atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna watu ni watetezi wake na bado Jeshi la Polisi lilitoa sababu kwanini lilimkamata kwa kumvamia kwa kuwa alikaidi wito,je hapo hatuoni makosa ya Kabendera
Kwanini alikuwa hataki kuitikia wito kama huna kosa polisi ni rafiki na kwenda polisi sio kwamba umefungwa tayari ni mahojiano.
Kabendera alikuwa anaonyesha jeuri kuwa nyuma yake kuna ubalozi wa mmarekani na uingereza.
Ndio maana alikuwa anakaidi,bwana huyo anaonekana ana mambo mengi mabaya ana tuhuma za kukwepa kodi na kutakatisha fedha bado kuna watu wanatetea je mnaujua undani wake ilihali wengine wanakamatwa italy kwa kwa kusafirisha madawa.
Tuwache kupiga mayowe waachwe jeshi la polisi,mahakama wafanye kazi yao ndio watakaotoa maamuzi ya haki na sheria.
Angalizo hawezi kuwa mfungwa bila ya kutiwa hatiani na mahakama!
Hapo Serikali imekuwa SMART. Haikutaka kumshtaki kwa content za makala zake bali imemshtaki kwa kuficha ukweli kwamba alikuwa analipwa kwa kuandika zile makala. Kwa kuwa alikuwa ana mshaharaa, PAYE ilikuwa inamhusu. Hakushtakiwa kwa kuichafua Nchi bali kwa kushindwa kulipa kodi mapato yatokanayo na usaliti wa kuichafua nchi.Kwani Mkuu kwanini sasa tunadangaywa kuwa Uhujumu uchumi kumbe hilo siyo tatizo kubwa, maana content nzima ya Andiko lako ni Kumchafua Mfalme wenu.
Halafu Kabendera anafanya biashara gani mpaka aingie Kukwepa Kodi na kuhujmu Uchumi? Hata haingii akilini hata Kidogo.