Yanga walikuwa wanacheka sana kipindi Simba anapata ubatizo wa kimataifa kwa kupigwa goli tano Tano, ile hali iliifanya Simba kujitafakari sana na kuongeza bidii. Yanga mkitaka kufanikiwa lazima mpitie huo ubatizo kwanza ili akili ziwakae
Tokea lini kenge wa mikiani ukawa yanga, kwaiyo kucheza mechi za kirafiki kubwa ndo unafanikiwa kwenye mashindano nani kakuambia? Peleka utahira wako uko umbumbuni