Wadau nimejaribu kuziangalia picha za msanii Baghdad zimenichanganya sana. Nashindwa kuamini kama ni mtu mmoja au sio. Swali langu ni kuwa, je ni kweli inawezekana mtu kubadilika namna hiyo kweli hata kama ametumia dawa? Au ni nini hasa?
nimemsikiliza baada ya kusoma kwako,anajitahidi, ila kama amejikondesha kwa hiari amekosea sana,labda kama anataka kucheza movie ya kuumwa kansa and the like
nimemsikiliza baada ya kusoma kwako,anajitahidi, ila kama amejikondesha kwa hiari amekosea sana,labda kama anataka kucheza movie ya kuumwa kansa and the like
nimemsikiliza baada ya kusoma kwako,anajitahidi, ila kama amejikondesha kwa hiari amekosea sana,labda kama anataka kucheza movie ya kuumwa kansa and the like