Mi babayangu ameanza kuvuta sigara mwaka 1965 akiwa na miaka 18 na bangi ameanza kuvuta mwaka 1970 amekuwa addicted na vitu hivyo, anamaliza pesa vibaya, pia sasa hivi ana kikohozi sugu, anakohoa sana. Madhara yapo maana hata ngozi yake ya kizungu, ina black spots kutokana na lack of oxygen kwenye mapafu..